BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, ‘Droni’ zaua 100, maelfu wakikimbia makazi yao Mashariki mwa DRC
Serikali ya DRC imesema mashambulizi ya ndege zisizo za rubani 'droni' aina ya kamikaze yamesababisha vifo vya watu takribani 100, kujeruhi maelfu na wengine zaidi 200,000 kuyahama makazi yao katika kipindi cha hivi karibuni.
Waandishi bila mipaka: Israel bado inaongoza kusababisha vifo vya waandishi wa habari
Uhuru wa vyombo habari duniani upo kwenye 'tishio ambalo halijawahi kushuhudiwa'-Ripoti yaonya
F-35 hadi KAAN: Kwanini Uturuki inawekeza kwenye ndege tofauti za kivita?
Mara ya mwisho Uturuki ilinunua ndege 30 za F-16 mwaka 2012. F-16 zilizobaki kwenye orodha yake ni ndege za kizazi cha nne zilizonunuliwa mapema miaka ya 2000 au kati ya 1987 na 2000.
Fahamu kuhusu meli ya mafuta iliyokamatwa na Marekani karibu na pwani ya Venezuela
Mamlaka nchini Marekani haikutoa taarifa kuhusu ni chombo gani au hatima yake itakuwaje baada ya kukamatwa Jumatano.
Kwa nini mapinduzi ya Benin yalifeli wakati mengine yalifanikiwa Afrika Magharibi?
Waliopanga njama ya kupidua hawakusoma 'upepo' wa umma na pia majirani wa Benin walijifunza kutokana na makosa yaliyopita, anasema mchambuzi Paul Melly.
Kwanini ndege ya kijeshi ya Nigeria iliivamia Burkina Faso, Traore kujibu mapigo?
Siku ya Jumatatu jioni, muungano wa Sahelian AES (Muungano wa Mataifa ya Sahel), unaojumuisha Burkina Faso, Mali na Niger, ulitoa taarifa kulaani kile ilichoeleza kama ukiukaji haramu wa anga yake uliofanywa na ndege ya kijeshi ya Nigeria.
Tetesi za soka Ulaya: Man united inamtaka 'mzee' Sergio Ramos
Manchester inamtaka Sergio Ramos, West Ham wanafuatilia mshambuliaji Clayton, Roma wameanzisha mazungumzo rasmi ya kumsajili Joshua Zirkzee, huku Sunderland wakitoa ofa kwa Matteo Guendouzi.
Maandamano Tanzania: Kwanini Disemba 9 yameshindikana?
Katika siku ambayo baadhi ya watanzania walitarajia kushuhudia hatua ya kihistoria ya maandamano ya amani ya Desemba 9, hali ilikuwa tofauti kwa siku nzima. Hakukuwa na misafara ya waandamanaji tofauti na Oktoba 29, 2025, na siku zilizofuata..
Uingereza inaweza kupigana kwa muda gani ikiwa vita vitazuka?
Vita kamili vya Urusi dhidi ya Ukraine hivi karibuni vitaingia mwaka wake wa tano. Matukio ya ajabu ya kile kinachoitwa "vita vya mseto" yanaongezeka huko Uropa, na hivyo kuongeza mvutano.
Kwa nini China na Urusi zinaonekana kumtenga Maduro, wakati huu akivutana na Marekani?
Hugo Chávez alipoingia madarakani mwaka wa 1999, alianzisha ushirikiano wa kimkakati na China na Urusi ili kukuza maono yake ya ulimwengu wa pande nyingi na kukabiliana na ushawishi wa Marekani.
Tetesi za soka Ulaya: Salah kutimkia Saudi Arabia Januari
Saudi Arabia wana shauku ya kumleta Mohamed Salah kwenye ligi ya Saudi Pro mwezi Januari, huku Antoine Semenyo akipendelea kujiunga na Liverpool, ingawa Arsenal na Manchester City pia wana nia ya kumnasa mshambuliaji huyo wa Bournemouth.
Hali ya usalama wa nchi ni shwari - Polisi Tanzania
Maandamano ya amani yaliyopangwa kufanyika siku ya leo yalipigwa marufuku na mamlaka za Serikali yakidaiwa kuwa hayakukidhi matakwa ya kisheria.
Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025
Maandamano Tanzania: Hofu ya machafuko yazua ununuzi wa dharura
Hali hii ya ununuzi wa dharura imehusishwa moja kwa moja na hofu ya kufanyika maandamano mengine ambayo yamepigwa marufuku na Jeshi la Polisi tarehe 9 Desemba. Serikali imewakikishia usalama wananchi.
Je, Tanzania kutengwa kidiplomasia?
Baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, mjadala kuhusu mustakabali wa Tanzania katika diplomasia ya kimataifa umeongezeka kwa kasi ambayo haijazoeleka katika miaka ya karibuni.
Jeshi la polisi Tanzania lapiga marufuku maandamano ya Desemba 9, 2025
Msemaji wa polisi ameweka wazi kuwa bado hakuna barua waliopokea inayotoa taarifa ya kufanyika kwa maandamano hayo.
Maandamano Tanzania: Balozi 16 za nchi za magharibi zataka uchunguzi huru wa matukio ya Octoba 29
Balozi hazi zimesisitiza kwamba Serikali ya Tanzania ina wajibu wa kutoa taarifa ya kina kuhusu hatima na mahali waliko watu wote waliotekwa nyara.
Tanzania kwenye mzani wa nani 'beberu' nani mfadhili
Katika dhana ya ubeberu, kuna pia neno la "vibaraka" watu wanaotumika au wanaoonekana kutumika na masilahi ya mataifa makubwa yanayotajwa ya mabeberu.
'Who are you?' na hoja 6 zilizotikisa hotuba ya Rais Samia
Hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, ambayo ilichukua takribani saa moja, iligusa masuala kadhaa kuzungumza maandamano ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na baada ya uchaguzi ambayo BBC imeyachambua kupata hoja sita kubwa
Rais Samia -Nguvu Iliyotumika Oktoba 29 ilistahili
Akizungumza na wazee wa Dar es Salaam, Rais Samia alisema nguvu iliyotumika na vyombo vya dola ilikuwa ya lazima kulinda amani na kuzuia kile alichokitaja kama jaribio la kuvuruga utulivu wa nchi na mapinduzi.
Mandamano Tanzania: Maswali 9 magumu kwa Tume ya Oktoba 29
Jaji Othman Chande alisema uchunguzi utafanyika zaidi katika maeneo yaliyoathirika na ghasia Tanzania, lakini pia tume itakusanya ushahidi kutoka maeneo ambayo hakukuwa na matukio ili "kuelewa tofauti za mazingira na sababu
Tanzania: Tunashughulikia azimio la Umoja wa Ulaya kidiplomasia
Waziri wa Mambo ya nje wa Tanzania, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, leo amekutana na wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania.
Hatua ya bunge la Ulaya dhidi ya Tanzania ina maana gani?
Uhusiano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya umedumu kwa miongo kadhaa, ukijengwa juu ya misaada, mikopo nafuu, ushirikiano wa kibiashara na miradi ya mageuzi ya kiuchumi na kijamii.
Bunge la Ulaya lapitisha azimio la kuitaka kamisheni kusitisha ufadhili kwa Tanzania
Hatahivyo, jukumu kuu la kusitisha ama kuendelea kuifadhili Tanzania lipo mikononi mwa kamisheni hiyo ya umoja wa Ulaya.
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Siasa za Afrika upinzani au uadui?
Kwa mwanasiasa wa upinzani katika maeneo mengi ya bara, kuingia katika siasa ni sawa na kuweka maisha rehani. Wengi hawana uhakika na kesho yao. Wengine wameshambuliwa, wengine wamefunguliwa mashtaka, na wengine wametoweka katika mazingira yenye utata.
Kuanzia Maria hadi Fatima: Kwa nini mama yake Yesu ana zaidi ya majina elfu moja?
Je, majina haya yote maarufu miongoni mwa Wakatoliki yanamuelezea nani? Yote yanamzungumzia mtu mmoja: Mariamu, mama yake Yesu
Mwaka mmoja bila Assad na Putin. Ni viongozi gani wanaoongoza Syria na nini kitatokea baadaye?
Mwaka mmoja uliopita, Bashar al-Assad aliikimbia Syria na kuelekea Moscow, kwa Vladimir Putin, na Urusi ikapoteza mshirika mkuu katika Mashariki ya Kati.
Vita vya Siku 12; Iran yatoa video za mashambulizi ya Israel kwenye kituo cha mfumo wa ulinzi
Katika hali isiyo ya kawaida, Shirika la Utangazaji la Iran (IBRC) lilitoa video za mashambulizi ya Israel dhidi ya kituo cha udhibiti wa ulinzi wa anga na kituo cha ulinzi cha jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Maelfu ya watu wanadhaniwa kuathiriwa na kemikali hatari wakati wa maandamano ya kupinga serikali Georgia
Mamlaka ya Georgia ilisema kwamba matokeo ya uchunguzi wetu ni "upuuzi" na kwamba polisi walitenda kisheria kama jibu kwa "matendo haramu ya wahalifu wenye ukatili."
Nchi 10 za Afrika zilizoathirika na tathmini mpya ya 'Green Card', Tanzania ipo?
Masharti mapya yanaweza kuongeza ucheleweshaji wa vibali, kufunga milango ya uhamiaji, na kuongeza wasiwasi miongoni mwa familia zilizo katika hatua mbalimbali za maombi ya kadi kijani 'Green Card'.
Viongozi 10 maarufu Afrika waliowahi kushtakiwa Mahakama ya ICC
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita mjini The Hague ICC imetakiwa kuchunguza madai ya mauaji ya watu wengi wakati wa msako mkali wa maandamano wakati wa uchaguzi nchini Tanzania mwezi uliopita
Kwanini vita dhidi ya ukatili wa wanawake ni ya kipekee?
Umoja wa Mataifa (UN) inakadiria zaidi ya wanawake 818 milioni duniani wamepitia ukatili wa kimwili au kijinsia idadi inayokaribia idadi ya watu wote wa Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Benjamin Netanyahu amuomba rais wa Israel amsamehe
Netanyahu amekuwa akikabiliwa na kesi kwa miaka mitano iliyopita kwa tuhuma za hongo, ulaghai na uvunjaji wa uaminifu kuhusiana na kesi tatu tofauti.
Yafahamu mambo 9 yatakayojadiliwa na Bunge la Ulaya kuhusu Tanzania
Bunge la Ulaya leo Novemba 27, 2025 litajadili azimio linalohusiana na matukio ya Oktoba 29, 2025 siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi nchini Tanzania, haki za binadamu, ikiwemo kesi ya kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 11 Disemba 2025, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 10 Disemba 2025, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 10 Disemba 2025, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 10 Disemba 2025, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani








































































